Friday, April 13, 2012

RIP Kanumba The Great


Mengi yameongelewa, mengi yamesemwa ila kutoka moyoni mwangu nimehuzunishwa sana na kifo cha msanii na kijana mwenzetu Stephen Charles kanumba (1984-2012).

Mungu amjaalie kupumzika kwa amani.. Amen

Linah ajaribu kuwa Rihanna?

huu uzungu wa kuvaa hivi Linah kaupata wapi? am personally disappointed na alivyovaa. Linah pliz take note na ubadilike haya mavazi ya hivi dont suit you.