all about us
Friday, April 13, 2012
RIP Kanumba The Great
Mengi yameongelewa, mengi yamesemwa ila kutoka moyoni mwangu nimehuzunishwa sana na kifo cha msanii na kijana mwenzetu Stephen Charles kanumba (1984-2012).
Mungu amjaalie kupumzika kwa amani.. Amen
Linah ajaribu kuwa Rihanna?
huu uzungu wa kuvaa hivi Linah kaupata wapi? am personally disappointed na alivyovaa. Linah pliz take note na ubadilike haya mavazi ya hivi dont suit you.
Subscribe to:
Posts (Atom)